Jumamosi, 29 Machi 2014

Rihanna&Drake wazidi kujianika

Wanamuziki Rihanna&Drake wamezidi kuudhirisha uma kuwa wako pamoja baada ya kuonekana wakitoka kablu pamoja jiji London wakiwa wameshikana mikono huku ikionekana Chris Brown hana chake.
Wawili Zhao walionekana wakitoka kablu ya Tramps na Drake akionekana mwenye furaha akiwa amemshika mkono Rihanna wakati wakiwakimbia wapiga picha waliokuwa wakiwafuatilia.
Mmoja wa mashuhuda amesema wasanii halo wana mapenzi ya kweli kati yao. "Drake anaishi ndani take lakini Rihanna ndio kazama kabisa kwenye mapenzi hayo
Drake in mwanaume tofauti kuliko alivyokuwa mwanzo;maneno ya shuhuda huyo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni