Jumamosi, 29 Machi 2014

Picha za Utupu

Mapema wiki hii jarida la The Mirror la Uingereza lilibua tetesi kuwa mama was mwanamitindo Kim Kardashian' Kris Jennes ameamua kupiga picha za utupu kwenye jarida maarufu la picha hizo la Play Boy
Chanzo kimoja cha habari kimesema Jenner mwenye miaka 58 bado anaonekana yuko kwenye umbo zuri katika maisha yake na ana mpango wa kulionyesha kwa kila mtu
Hivi karibuni mama huyo aliweka picha kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram iliyomuonesha akiwa amevalia bikini

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni