Jumatatu, 31 Machi 2014

Kajala na skendo ya kujiuza China

Staa was sinema za kibongo Kajala Masanja ameitolea mbavuni skendo ya kujiuza nchini China inayowatafuna mastaa wengi was kike Bongo
Kajala ambaye mara kwa mara amekuwa akisafiri kwenda nchini China.
Amesema kuwa China "nakwenda kwa pesa zangu na huwa nalipa dola 5000(business class) Nina dili zangu za kikazi na so kujiuza kama wapo wanaofanya hivyo no wao na sio mimi

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni